Zaidi by Jux.
Zaidi by Jux.

Zaidi

Jux. * Track #2 On The Love Album

Zaidi Lyrics

《It's Bob Manecky》

Na-na-na-na
Na-na-na-na
Na-na-na-na
Na-nah

[Verse 1: Jux]
Zinanitoka goosebumps, nikisikia jina lako
Mi nina weuka, kabisa mi ni chizi wako
Na kama ni mganga eeeh, Mzuri huyo mganga wako
Sio kwa kunipumbaza huku (Baby mmhh)

[Bridge: Jux]
Mommy ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh
Baby ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh
Kama ni pilipili Ma, acha ukali niusikie
Kama ni vita mama, acha adui wanivamie
Kama we ni asali Ma, acha na nyuki wanivamie
Lakini penzi lako baby, hata kidogo lisipungue
No no nooooo

[Chorus: Jux]
Zaidi
Zaidi
Zaidi
Zaidi, (Mmh)
Nipe, nipe
Zaidi
Zaidi, (Zaidi)
Mmm
Wewe, zaidi
Zaidi, (Zaidi)
Wewe, nipe
Zaidi
Zaidi, (Zaidi)

[Verse 2: Jux]
Nanyoosha mikono juu, kwako me nime-surrender
Naona maajabu, Sungura kazidiwa ujanja
Nimekuwa zuzuzuzuzu
Nimekuwa bububububu
Nimekuwa mbumbumbu, baby eh
Nimekuwa zaidi ya nyumbu' Sioni, sisikii
Ah' Sioni, sisikii, baby

[Bridge: Jux]
Kama ni pilipili, Ma
Acha ukali niusikie
Kama ni vita, Mama
Acha adui wanivamie
Kama we ni asali, Ma
Acha na nyuki wanivamie
Lakini penzi lako, baby' hata kidogo lisipungue
No, no-no
Oh

[Chorus: Jux]
Zaidi
Zaidi
Zaidi
Zaidi, (Mmh)
>> yeah, yeah, yeah
Nipe, nipe
Zaidi
Zaidi, (Zaidi)
Mmm
Wewe, zaidi
Zaidi, (Zaidi)
Wewe, nipe
Zaidi
Zaidi, (Zaidi)
Zaidi-iih

[Outro]
Mami ongeza ubuyu' nizidi kuumumunya eh
Tena na sukari guru' utamu nikitafuna eh
Baby, ongeza ubuyu nizidi kuumumunya eh
Tena na sukari guru' utamu nikitafuna eh
Mmm

Zaidi Q&A

Who wrote Zaidi's ?

Zaidi was written by .

Who produced Zaidi's ?

Zaidi was produced by Bob Manecky.

When did Jux. release Zaidi?

Jux. released Zaidi on Mon Sep 03 2018.

Your Gateway to High-Quality MP3, FLAC and Lyrics
DownloadMP3FLAC.com