[Intro]
Yammi yammi
[Verse 1]
Mwanakwenda uende, sikumbuki kilichofanya nkupende
Nanukuuu ndo uliyasema hayooo
Na shamba liikosa jembe
Kilima cha kushuka nikipande
Nikanyosha mikono juu, nikaoiga konde moyo ahh
[Pre Chorus]
Hadi najionea maajabu, mpaka nashangaa
Kipi ulichosahau kwangu ama ulipo hakuna fuhara
We si ulifuta namba zangu, ukaniacha mataa
Mixer kuniimbia taarabu, umeshajikataa
[Chorus]
Nananinananaaaw
Umeshachelewa pole
Umeshachelewa pole
Umeshachelewa pole
Umeshachelewa pole
[Verse 2]
Mhh saivi napewa full dozi ya kumimina
Ahh kuna muda sina usingizi, nalazwa mzima
Penzi nimelipitia kozi, sio made in China
Sio wewe mwana kikohozi kubanja kujinyima
[Pre Chorus]
Hadi najionea maajabu, mpaka nashangaa
Kipi ulichosahau kwangu ama ulipo hakuna fuhara
We si ulifuta namba zangu, ukaniacha mataa
Mixer kuniimbia taarabu, umeshajikataa
[Chorus]
Nananinananaaaw
Umeshachelewa pole
Umeshachelewa pole
Umeshachelewa pole
Umeshachelewa pole