[Intro]
S2kizzy baby
[Verse 1]
Jirani yangu, jirani yangu tumezoeana
Mlango wake, mlango wangu vinatazamana
Sukari kwake, chumvi kwangu tukaazimana
Akawa bf wangu, udugu wangu tukashibana
Mwisho tukapendana
[Pre Chorus]
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
[Chorus]
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
[Bridge]
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)
[Verse 2]
Mwambani mwambani eeeeh
Mwambani msuli na khanga
Wazania wazania eeheeeeehh
Waambie ndo tunayaanza
Ooooooooh
[Pre Chorus]
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
[Chorus]
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
[Outro]
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)