Masheesha by H_art the Band (Ft. Bensoul)
Masheesha by H_art the Band (Ft. Bensoul)

Masheesha

H-art-the-band & Bensoul

The music player is only available for users with at least 1,000 points.

Download "Masheesha"

Masheesha by H_art the Band (Ft. Bensoul)

Release Date
Fri Nov 25 2016
Performed by
H-art-the-bandBensoul
Produced by
Cedo
Writed by
Wachira Gatama & Bensoul
About

With Social Life moving to Social media, most youths are looking for/finding Love through Social Media sites. Its not really a bad thing but, the problem comes in when most people on social media tend to live a fake life.

‘MASHEESHA’ is based on this; a boy meets a girl on social media & invite...

Read more ⇣

Masheesha Lyrics

[Intro: Cedo]
So we are, H_art the band
H-underscore-A-R-T the band, ha-ha-ha
And now the big man himself Bensoul, 254, and Cedo
(Hahahahaha) Ha-ha-ha-ha, Cedo

[Verse 1: Mordecai Mwinyi and Kenneth Muya]
Oh boy, ha
Msupa wangu anataka masheesha
Na kwa mfuko pesa zangu zimeisha
Na yule waiter ananitisha
Ati ma-bouncer atawaita
Na huyu dem bado anaitisha
Na mi nashindwa sasa venye nitazusha
Tulipatana juzi kwenye Insta-grrram
Na mi sitaki choma picha

[Chorus: Mordecai Mwinyi]
Itakua ngori, sikiza story
Wacha kuckeka, hii ni ngori, nilimwacha bila sorry
Na ukicheza utapatana na ye, patana na ye
Patana na ye, ye, ye, ye, ye (Demu wa masheesha)
Utapatana na ye, patana na ye
Patana na ye, ye, ye, ye, ye, ye (Demu wa masheesha)
Utapatana na ye, patana na ye
Patana na ye, ye, ye, ye, ye (Demu wa masheesha)
Patana na ye, patana na ye
Patana na ye, ye, ye, ye, ye, ye-eh (Demu wa masheesha)

[Verse 2: Bensoul]
Kwenye profile, mimi ni lawyer
Kizungu tamu kama ile ya Lumumba
Lakini ukweli, mimi ni hawker
Nina thao mbili, manze, leo kulidhoka
Makanjo walinishika
Hata ni bahati, stenje, bado sijafika
Na huyu dem, zake bado hazijashika
Mzinga tatu sasa zimekatika, eh

[Chorus: Mordecai Mwinyi and Bensoul]
Itakua ngori, (Woi, woi, woi) sikiza story (Oh no)
Wacha kuckeka, hii ni ngori, nilimwacha bila sorry
Na ukicheza utapatana na ye, patana na ye
Patana na yeye, wewe (Demu wa masheesha)
Utapatana na ye, patana na ye
Patana na yeye, wewe (Demu wa masheesha)
Ukicheza utapatana na ye, patana na ye
Patana na yeye, wewe (Demu wa masheesha)
Utapatana na ye, patana na ye
Patana na ye, ye, oh, oh, woah, woah (Demu wa masheesha)

[Bridge: Mordecai Mwinyi]
Sasa nawaza vile nitaenda choo
Nitoroke huko nyuma, backdoor
Akinisaka, asinipate ng'oo
Akiuliza, aambiwe nime-go
Lakini vile mi naenda kuchomoka
Yule waiter akaniona
Hiyo bill akai-drop, na kwa mfuko, mimi sina hata bob

[Chorus: Mordecai Mwinyi and Bensoul]
Itakua ngori, huh, sikiza story
Wacha kuckeka, hii ni ngori, nilimwacha bila sorry
Na ukicheza utapatana na ye, patana na ye
Patana na yeye, wewe, eh (Demu wa masheesha)
Utapatana na ye, patana na ye
Patana na yeye, wewe, eh (Demu wa masheesha)
Utapatana, patana, patana, patana
Patana na yeye, wewe, yeah (Demu wa masheesha)
Utapatana na ye, patana na ye
Patana na ye, ye, woah, woah (Demu wa masheesha)
Utapatana na ye, patana na ye
Patana na ye, yeah (Demu wa masheesha)
Unaweza patana na ye, patana na ye
Patana na ye, ye, ye-ye-ye (Demu wa masheesha)
Unaweza patana na ye, patana na yeye
Patana na ye, yeah (Demu wa masheesha)
Oh, utapatana na ye, patana na ye
Patana na yeeh, yeye, yeye, eh (Demu wa masheesha)

Masheesha Q&A

Who wrote Masheesha's ?

Masheesha was written by Wachira Gatama & Bensoul.

Who produced Masheesha's ?

Masheesha was produced by Cedo.

When did H-art-the-band release Masheesha?

H-art-the-band released Masheesha on Fri Nov 25 2016.

Your Gateway to High-Quality MP3, FLAC and Lyrics
DownloadMP3FLAC.com